banner

banner

Latest News

Powered by Blogger.
Thursday, July 27, 2017

NILIVYOJIUNGA NA FREEMASONS NA KUPATA UTAJIRI MKUBWA

Hii ni Siri niliyoapa katika maisha yangu yote nisingeitoa kwa mtu yeyote, hata mchumba wangu nilielalanae kitanda kimoja kila siku hakujua Imani yangu na mambo ya ajabu niliyoyafanya Muda mchache nilipotengana naye.Alichojua mimi ni mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam Ingawa nyuma ya pazia nilikuwa mtumishi wa imani ya freemasons. Ilikuwa siyo kazi rahisi kujulikana, ukiutazama Uso Wangu na kunijadili usingefikilia iwapo ningeweza kujiunga na freemason. Nilionekana Mtu Mwenye Upendo, mnyenyekevu, mtiifu na anaejali watu bila ubaguzi lakini katili sana. Nilijiunga na Freemasons mwaka 2003 nikiwa jijini Arusha, nikiwa na jopo la waumini wa Freemasons. Kipindi icho wakati najiunga Ilikuwa siri kubwa sana na siku Zote nilitamani kuendelea kujificha, ila kutokana na habari nyingi za uongo zinazoandikwa na kusimuliwa na baadhi ya vyombo vya habari. Nimeamua nieleze Ukweli namna nilivyojiunga na kuwa bilionea. Pia nitawataja Baadhi ya Viongozi na vigogo waliopo Freemasons. Sitaki kuwafundisha watu wafanye hivyo kwasababu najua itawagharimu maishani mwao. Naomba ikumbukwe kuwa sio kila utajiri ni mzuri, Hivi ujuikuwa wapo matajiri wanaoteseka kwa kuwatoa ndugu, wazazi wao kafara? Mkasa huu ni Ukweli na sio hadithi kama mlivyozoea kusoma magazetini.Jina la Ubatizo kutoka kwa wazazi wangu naitwa, Emmanuel Shamge Mabiranga! . Natoka wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, kabila langu ni mpare wa Chome. Nasema Chome kwasababu ndipo chimbuko la kizazi cha mababu zetu. Lakini nimekulia Hedaru ambapo nilikuwa nikiishi na Bibi Yangu mzaa Baba, Mzee Mabiranga. Wazazi wangu walifariki miaka kumi na tano iliyopita kwa ajari ya gari enzi hizo wakifanya kazi Shirika la Reli Tanzania, mjini Moshi. Nilisikitika sana kuwakosa wazazi wangu, maisha yaligeuka jiwe. Ugumu huo ndiyo Uliomtoa Bibi yangu machozi kila siku iitwayo leo. Hakuwa na nguvu za kulima na kunilea kwa sababu tuliachwa watatu, mimi na wadogo zangu wawili wakiume na wakike .Bibi yangu alikuwa akifanya kazi ya kusuka ukili na kutengeneza vungu, pamoja na ukulima, ingawa akuweza kumudu vizuri kunisomesha mimi na wadogo zangu hasa mahitaji ya shule na Chakula. Enzi za Utoto wangu nilikuwa ninani Ndoto za kuwa tajiri wa dunia, na wengi walinishangaa kwa hali ya familia yetu na ndoto zangu vilikuwa vitu viwili tofauti. Ajabu, marehemu babu yangu alinitabiria na kuniambia , Emmanuel, lazima utakuja kuwa tajiri wa dunia," Sikutaka kupuuzia kauli hiyo, niliiheshimu na kuitunza katika kumbukumbu za ubongo wangu, nikiamini kuwa ipo siku ningeweza kulisha familia elfu tano kwa kutoa ajira katika kampuni yangu. 

Ni ndoto kwa kijana kutoka Tanzania nchi masikini kuwa bilionea ndani ya nchi za kitajiri na kuwekeza kiasi cha kushikilia uchumi wa dunia. Tatizo la watanzania wengi wanapokwenda nje na kuwa mabilionea huomba uraia na na Kuishi uko kama raia wa nchi walizoingia na kuja Tanzania kama watalii tu .Hii niliweza kuiona kupitia ndugu zangu toka Afrika, hasa Tanzania, Kenya, Nigeria, na Uganda. 

SAFARI YA KUJIUNGA NA FREEMASONS ARUSHA 

Nina Umri wa miaka 27 sasa,na utajiri nilionao unatokana na juhudi zangu na ukatili, nikweli freemason wanawajaza watu mapesa lakini sio kirahisi kama watu wanavyodhani. Katika mkasa wangu huu,nitawafunulia siri nyingi na hakika mtaamua wenyewe kama mtajiunga ama vipi. Sikumshauri mtu, maana watu wengi kutokana na Maisha duni, hutamani sana kuwa matajiri tena katika kipindi kifupi bila kujua kuna matatizo makubwa mbele yao. Lengo langu la kuandika mkasa huu unahousu maisha yangu ni kuwaelimisha vijana wenzangu yale niliyoyafanya ili wajifunze athari na faida za utajiri wa haraka. Jamani shida hazizoeleki, kwani kila siku huibuka kwa njia tofauti. Kama jana ukula chakula, kesho unaweza ukala lakini kwa kufanya kazi ya mateso, na huenda ikagharimu maisha yako. 

Wazazi wangu walipofariki, na Kuishi na Bibi hali ilikuwa ngumu ,shule sikuweza kuendelea na badala yake nilianza kufanya kazi za saidia fundi pale Hedaru mjini. Nilijifunza kazi ya kusomba matofali  na kukoroga udongo kwa ajili ya kujengea ingawa kwangu niliona nachelewa kupata pesa.alipofika rafiki yangu Jango kutoka mererani na mabilioni ya pesa, nilianza kupata wazo la kujiunga na wanaapolo kwa Ajiri ya kuzitafuta pesa nyingi, uko nilijua ningeibuka tajiri tu. Hivyo niliamua kwenda mererani wakati huo ikiwa ndani ya mkoa wa Arusha, lakini kwa Sasa ni mkoa wa Manyara. Niliweza kuanza maisha magumu, na kujifunza Roho ya kikatili. Nilichojifunza mererani ili uweze kuwa bilionea ni lazima uwe mbabe, ukiwa mnyonge utazidi kunyongeana kwa umasikini, hilo ndio dalasa nililopewa na rafiki yangu Jango, Awali kabisa siku naingia mgodini, niliteseka na uoga ulinitawala pale niliposikia vishindo vya miamba kupasuka kutokana na baruti zilizopigwa jirani. Wakuu wa njia  (mshika kikofia) walisisitiza tupo karibu sana na miamba ya jirani zinazotoa madini hivyo lazima tupambane kufa na kupona ili tuibuke na utajiri huo.

Mgodini ya Block D, ilikuwa mirefu zaidi ya OPEC, Nakumbuka siku hiyo tulisomoa viroba kutoka Chini kiasi cha kuishiwa nguvu. Nikauvaa ujasiri na kukomaa, ilipofika saa nane usiku tuliamliwa tupumzike kutokana na zana za kufanyia kazi hasa mauta ya Magnum (mafuta ya baruti kuisha )pia zilizoisha nyingine zilikuwa ni codex wenyewe wa mererani uziita "koteksi".Sikupatwa na usingizi, kwani baruti zilisikika katika njia za migodi jirani yetu, wenyewe walisema tunakaribia kutobozana. Zaidi kulikuwa na panya wakali katika migodi walitung'ata na kupuliza. Niliteseka sana kwani yalikuwa maisha mapya na ilibidi nijikaze kiume na lazima nizoee shida ikiwa ndio siri ya uwanaume. Kazi ya kuzama ndani ya migodi ilikuwa ngumu sana,nikajituma na kujitolea kufa Sikutaka Kuishi Maisha Ya mateso ya Ufukara. Nikiwa Mererani kwa bahati Nzuri nilifanyikiwa kupata madini ya Tanzanite kiasi kidogo nilicho uza Zaire  (kajiweni)na kupata milioni saba tasilimu. Kutokana na kutaka kubadilisha maisha na kusomesha wadogo zangu muda mfupi pesa zile zilikwisha nikabaki na pikipiki aina ya Honda 250. Siku chache mgodi wetu nao uliua watu waliofukiwa na mwamba, hivyo mgodi wetu ukafungwa ndipo nilipoendelea kuwajibika na migodi mingine bila mafanyikio. Hali ilipokuwa ngumu,ndipo siku moja ni kaomba kazi kampuni moja ya AFGEMS ya uchimbaji wa madini. Us ajili ulipofanyika nikabahatika kuajiriwa katika vijana mia moja tulioomba kazi ya mgodini, tulichaguliwa kumi tu. 

NAANZA KAZI MGODI WA WAKABURU 

Kampuni hii ya wazungu wa Africa kusini, ilinifanya niwe mchumbaji mzuri na kutokana kujua kutumia vizuri kutumia mashine ya kuchonga miamba vyema na uzoefu wa nguvu zangu.mabosi zangu walinipenda sana 

Nitaendelea na mkasa wangu ili watu wajue nilivyojiunga na freemason nikiwa Arusha na kuwa kijana tajiri mkubwa ili watu wajue namna ya kujiunga kwa atakaependa kujiunga na chama icho wasiliana nao kwa namba 0652 720 339


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

22 comments:

  1. Nimekuwa nikitaka kuwa wa ndugu mkubwa wa ILLUMINATI kama nilikuwa na hamu kubwa ya utajiri na umaarufu na kwa jitihada zangu nimeingia katika baadhi ya mikono isiyofaa kunidai kunisaidia kupata punguzo la uanachama na nimepata maradhi ya fedha yangu. Hivi karibuni nilipata ukurasa wa kuajiriwa na haki za uanachama ambazo msingi wa Marekani na uanzishwaji wangu ulifanyika kwa siku zisizo chini ya 5 na nilipata fedha zangu zote zilizopotea na hata zaidi. Ikiwa unataka fursa hiyo kuwasiliana nao kwenye illuminatiworldofriches6666@gmail.com au whatsapp +239034745112

    ReplyDelete
  2. MFANYANZO WAKO MKUU WA KUPATA KATIKA KIKUNDI CHA MAJILI YA MALI NA MAFUZI,

    Je, wewe ni mtu wa biashara au mwanamke, kisiasa, mwanamuziki, mwanafunzi, unataka kuwa tajiri, maarufu, mwenye nguvu katika maisha, kujiunga na Illuminati
    ibada ya ndugu leo na kupata pesa tajiri ya papo hapo. Dola milioni 1 kwa wiki, na nyumba ya bure. popote unapochagua kuishi hapa duniani na pia kupata dola za Kimarekani 800,000 kila mwezi kama mshahara ...

    MATUMIZI YA KUTIWA KWA WATU WATU WATU WATU KUJUMA ILLUMINATI.
    1. Mshahara wa Fedha wa USD $ 1000,000 USD
    2. Ndoto mpya ya Sleek CAR ilifikia dola $ 200,000 USD
    3.A Dream Dream kununuliwa katika nchi ya uchaguzi wako mwenyewe

    Lazima uwe na umri wa miaka 18 na zaidi kabla ya kuwasiliana nasi kupitia
    Barua pepe: illuminate666temple@outlook.com
    Whatsapp: +2348138555220

    ReplyDelete
  3. KARIBU ILLUMINATIWORLD Tunawapa RICH, umaarufu na POWER.


    JOIN UTARATIBU Illuminati Great Hall ya fedha na nguvu JOIN WELLAP Illuminati wakala wetu au +234807949406 au kwa barua pepe (illuminatiworld202@gmail.com) Je, wewe mtu au mfanyabiashara, mwanasiasa, mwanamuziki, mwanafunzi, unataka kuwa tajiri, maarufu, nguvu katika maisha, kujiunga ibada ya Illuminati undugu leo ​​na kupata papo na kamili kiasi cha $ milioni 1 katika wiki, na bila malipo. Ambapo kuamua kuishi katika dunia hii na pia kupokea $ 350 000 kwa mwezi katika mshahara ... FAIDA GIVEN kwa wanachama wapya JOIN Illuminati. 1. tuzo ya fedha ya $ 000 USD 10000 2. mpya Sleek Dream gari yenye thamani ya $ 150 000 USD 3. nyumba ndoto kununuliwa katika nchi ya uchaguzi wako upo hapa kwa ajili ya mwezi na tano viongozi wa dunia kubwa na 5 muhimu mashuhuri duniani. Kama una nia ya, piga +234807949406 au Whatsapp wakala, unaweza pia tutumie barua pepe na hii (illuminatiworld202@gmail.com) kwa ajili ya kuanza kwa haraka online sasa.

    ReplyDelete
  4. KARIBU ILLUMINATIWORLD Tunawapa RICH, umaarufu na POWER.


    JOIN UTARATIBU Illuminati Great Hall ya fedha na nguvu JOIN WELLAP Illuminati wakala wetu au +234807949406 au kwa barua pepe (illuminatiworld202@gmail.com) Je, wewe mtu au mfanyabiashara, mwanasiasa, mwanamuziki, mwanafunzi, unataka kuwa tajiri, maarufu, nguvu katika maisha, kujiunga ibada ya Illuminati undugu leo ​​na kupata papo na kamili kiasi cha $ milioni 1 katika wiki, na bila malipo. Ambapo kuamua kuishi katika dunia hii na pia kupokea $ 350 000 kwa mwezi katika mshahara ... FAIDA GIVEN kwa wanachama wapya JOIN Illuminati. 1. tuzo ya fedha ya $ 000 USD 10000 2. mpya Sleek Dream gari yenye thamani ya $ 150 000 USD 3. nyumba ndoto kununuliwa katika nchi ya uchaguzi wako upo hapa kwa ajili ya mwezi na tano viongozi wa dunia kubwa na 5 muhimu mashuhuri duniani. Kama una nia ya, piga +234807949406 au Whatsapp wakala, unaweza pia tutumie barua pepe na hii (illuminatiworld202@gmail.com) kwa ajili ya kuanza kwa haraka online sasa.

    ReplyDelete
  5. WELCOME TO THE GREAT BROTHERHOOD.
    Do you want to be a member of Illuminati as a brotherhood
    that will make you rich and famous in the world and have
    power to control people in the high place in the worldwide
    .Are you a business man or woman,artist, political,
    musician, student, do you want to be rich, famous, powerful
    in life, join the Illuminati brotherhood cult today and get
    instant rich sum of. 2 million dollars in a week, and a free
    home.any where you choose to live in this world
    BENEFITS GIVEN TO NEW MEMBERS of ILLUMINATI.
    1. A Cash Reward of USD $500,000 USD
    2. A New Sleek Dream CAR valued at USD $300,000 USD
    3.A Dream House bought in the country of your own choice
    4. One Month holiday (fully paid) to your dream tourist
    destination.
    5.One year Golf Membership package
    6.A V.I.P treatment in all Airports in the World 7.A total
    Lifestyle change 8.Access to Bohemian Grove
    account every month as a member
    9.One Month booked Appointment with Top 5 world
    Leaders and Top 5 Celebrities in the World.
    If you are interested of joining us in the great brotherhood of illuminati CONTACT MR ROLAND or WhatsApp him +2348142587627
    or email:illuminatipower666brotherhood@gmail.com

    ReplyDelete
  6. To join Illuminati is easy...Join the Illuminate cult online today where ever you are and get instant sum of 10,000,000,00 USD[dollars] with a free home any where you choose to live in the world and many other benefit as follows.we make your business grow faster and empower you...Joining the Illuminati brings you into the limelight of the world in which you live in today your financial difficulties are brought to an end your inseams lengthen we support you both financially and materially to ensure you live a comfortable life in comfortable slacks You can join from wherever you are,any part of the world[country] you are..from the UNITED STATE down to the most remotes part of the earth we bring you all you want, it dose not matter being Literate OR Illiterate Rich nor Poor anybody is advice to join If you are interested contact us now for all you seeks in life will comes to Reality. email us now:[illuminatipower666brotherhood@gmail.com]... /...or call +2348155285233 / whats-app
    say bye bye to poverty by joining Illuminati i never believe not until i finally join but now i am rich..this man is real he made me what i am today and i am very proud of me begin a Illuminati member... if they, can make me rich make me become something in life why don't you join also for you to also be rich the money always flows through the members like an ocean that never runs dry it dose not matters if you have been scam before contact him for help to join :::: NOTE; that in this Great Brotherhood Of Illuminati No Bloodshed And No Humans Sacrifices is involved [We Don't Kill For Anything] OK... Do not miss this opportunity THANKS.

    ReplyDelete
  7. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  8. Siri ya utajiri na ustawi katika sayari hii ya Dunia ambayo ndio nitakaokuwa nikishiriki nawe leo, mimi ni mhandisi Emmanuel mhandisi wa serikali nilifanya kazi katika kampuni fulani huko Holland baada ya miaka michache baadaye nilifukuzwa katika kazi yangu, kwa sababu tu nilifanya makosa kidogo, baada ya mwezi mmoja nimevunjika sana na ninahitaji kurudi nyumbani maisha ya Paris haikuwa rahisi kwangu, Rafiki yangu ambaye ni shoga alikuwa na pesa nyingi na kuacha maisha yenye mafanikio alikuwa na magari na marafiki wangu wawili waliobaki ambapo pia tajiri, tulikuwa na wengine
      mazungumzo na wakaniambia juu ya Illuminati na wakaniuliza ikiwa nina nia, basi hawakuwa wamehamisha bwana Edmundo kwenda Afrika, nilikutana naye na waliniambia nini cha kufanya nimepata usajili na wanatoa euro milioni 5 kwa nyumba na gari baada ya hapo nimefanikiwa sana, hapa kuna Grand Master mpya Mawasiliano +2348159768201 ikiwa uko tayari na kujiandikisha kwenye utajiri
    Jaribu na kuwa mwanachama na ufurahie maisha yako

    ReplyDelete
    Replies
    1. Namna ya kujiunga,,na je?? kun pesa zinahitjik ili kujaza form

      Delete
    2. Nipo tear nipo siriazi NAOMBA kuunganishwa

      Delete
  9. Karibu Tiba asili kupata tiba mbalimbali kupitia visomo na dawa mbalimbali..

    PIGA SIMU No, 0742162843...

    Kwa wale wasumbuliwao na magonjwa sugu na matatizo kama
    Kusafisha nyota, biashara, kumvuta mpenzi, KUTENGENEZA MALI KWA NDAGU au KUTENGENEZA MALI KWA MAJINI, kulinda mali, kulinda familia, Utulivu katika ndoa, kuitambua nyota yako, Kwa wale wasumbuliwao na majini(mapepo) na mengine mengi kumbuka husitume sms tafadhali piga simu kuhepuka matapeli.

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA KWA MASWALA YA KUPATA PESA ZA NDAGU AU MAJINI......

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI...

    UTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843.
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI).

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete
  10. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)


    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete
  11. Habari!!! Je, una nia ya kujiunga na udugu mkubwa wa Illuminati ili uwe tajiri na maarufu maishani? Haya ndiyo manufaa wanayopewa wanachama wapya *Zawadi ya Pesa Taslimu ya Dola 500,000 za Marekani *Gari Jipya la chaguo lako *Nyumba ya Ndoto iliyonunuliwa katika nchi uliyochagua mwenyewe *Likizo ya Mwezi Mmoja (imelipiwa kikamilifu) kwenye eneo lako la utalii la ndoto. $100,000 Dola ya Marekani kwenye akaunti yako ya benki kila wiki kama mwanachama ikiwa una nia unaweza Kusema NDIYO SASA.
    DM kupitia whatsapp >+1 (618) 440-2248

    ReplyDelete

Item Reviewed: NILIVYOJIUNGA NA FREEMASONS NA KUPATA UTAJIRI MKUBWA Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top