banner

banner

Latest News

Powered by Blogger.
Tuesday, June 2, 2015

NILIVYOWEZA KUPATA UTAJIRI WA WAAJABU

===Jina langu naitwa Musa ;nilizaliwa mkoa wa kilimanjaro kwenye familia ya fukara kwa mantikia hiyo niliishi maisha ya dhiki siku moja nilipokuwa nukitoka shambani nilikutana na rafiki yangu niliyekuwa nikisomanae shule ya msingi .Nlishangaa sana kumuona Rafiki yangu kipenzi akiwa ndani ya gari nina muda mrefu toka tupotezane nilihisi kama naota lakini ilikuwa ni kweli nilikuwa nimeshikwa na mshangao Rafiki yangu alishuka kwenye gari na kunikumbatia kwa furaha huku kila mmoja akiwa na shahuku ya kuongea na mwenzake .Rafiki yangu aliniambia tupande kwenye gari ili tuzungumze vizuri ,tuli8vyoingia ndani ya gari nilianza kumsimulia rafiki yangu mabo yaliyo nikuta miaka kadhaa iliyopita toka tulipo potezana .Kwabahati mbaya rafiki yangu alipo ondoka kipindi kile kwa bahati mbaya Baba yangu mzazi alifariki dunia Hukupitamuda matokeo ya mtiahani yalitoka na jina langu lilikuwepo lakini mama yangu na wajomba zangu hawakuwa na uwezo wa kunilipia ada ilinilazimu niwe mkulima hapa kijijini,lakini kila kunapoakucha ni hafadhari ya jana huku kijijini ni hali mbaya sana .Jua kali sana na pesa hakuna mama pamoja na wadogo zangu wananitegemea nashindwa hata chakufanya,niliongea kwahuzuni sana huku machozi yakinitoka  kiasi kwamba nilishindwa kujizuia kutokwa na machozi.Rafiki yangu kipenzi alionekana kuguswa na maneno yangu na ndipo alipo niahidi kuni saidia kwa hudi na uvumba! Nilifurahi sana kusikia vile !
Baadaya siku 8 rafiki angu alikuja nyumbani kwania ya kumuomba mama ili na mie niende mjini kwa lengo la kwenda kutafuta kazi.Ujumbe huu alipo upokea mama alifurahi sana nakuona kama ni bahati kwa mimi mtoto wake.Mama alinimkubalia rafiki yangu kuondoka pamoja na mimi kuekea mjini.Nilikuwa na furaha sana isiyo na kifani.
Laiti kama ningetambua yaliyopo nyuma ya pazia  nisinge furahi hata chembe.
Rafiki yangu aliapa mbele ya mama ataishi na mimi kama ndugu yangu wa damu.Baadaya hapo Rafiki yangu alinitaalifu kwa siku ya kesho kutwa alitarajia kwenda mjini. Kisha nilimsindikiza kisha nilirudi nyumbani na kuanza maandalizi ,kubwa zoezi kubwa lilikuwa ni kufunguo pamoja na viatu ili nitakapo fika mjini nionekane smati nilifanyikiwa kufanya hivyo kwa hela kidigo nilizokuwa nazo
Siku ya saari liwadia niliamka asubuhi na mapema kisha nilienda sehemu ambayo nili ahidiwa na Rafiki yangu kwa mbali niona gari ya rafik yangu ikija  punde si punde gari ilifika rafiki yangu aliniambia niingie ndani ya gari ilituodoke kisha safari ikaanza.
Tulisafiri kwa muda mrefu hatimaye tuliwasili jijini Dar es salaam saa kumi na mbili jioni,moja kwa moja tulielekea nyumbani kwa rafiki yangu kimara mwisho tulipokelewa na mke warafiki yangu akanitambulisha kwa mke wake kwa mba mimi ni rafiki yake niliye soma naye,mke wake alionekana kutabasamu na kumuita mfanya kazi kisha kuchukua begi la ngu na kulipeleka katika chumba cha wageni naye akachukuwa mizigo ya mumeo na kuipelekachumbanikwao.Rafiki yangu alinionesha chumba cha kulala kisha nilipewa maji ya kuoga na baadaye tulipata chakula  kisha kilammoja alielekea kupumnzika.
Asubuhi na mapema rafiki yangu aliniamsha na kuniimiza kwenda kuoga harakaraka niliingia kuoga hatimaye tulielekea dukani Kariakoo.Tulipofika dukani kwa harakaharaka na kuanza kupanga nguo maana duka la rafiki yangu lilikuwa ni duka la kuuza nguo za jumla na lejaleja  rafik yangu alianza kunielekeza kazi za pale namna ya kuongea na wateja na pamoja na bei.Tulifanya kazi nyingi kakushilikiana rafik yangu alionesha kunijari sanalakini kadri siku zinavyo zidi kwenda rafik yangu akaanza kubadilika uendo ukapungua akaanza kunipelekesha na kuniamlisha kama mtumwa lakini yote niliyavumilia.siku moja niltumwa kwenda stoo kuchua mafurushimawili ya nguo nilimchukua toroli na kuyapakia hayo mafurushi na kurejea dukani,nilipofika dukani rafik yangu alinihoji kwa ukali kwanini nimechelewakufika..!!? nilimuelezakuwa mjini kulikuwa na msongamano wa watu na magari rakini rafik yangu alinirukia na kuanzakunipiga makofi mbele za watu,watu walituamua lakini rakini rafik yangu aliendelea kunipolomoshea matusi ya nguoni nakejeri wapita njia waonekana kufedheheshwa kwa matusi yale,lakini kwa wenyeji walionakawaida maana si mara ya kwanza kuniona nikisurubiwa.Lakina kuna mzee mmoja alionekana kuumia kwa vitendo ambavyo nilivyokuwa nikifanyiwa lakini siku mojaaliumiazaidi .Rafiki yangu alivyokuwa akini beza mbele za watu lakini mzee huyo aliapa kimoyomoyo kuwa atanisaidia,mzee huyo aliitwa Temba ni mmoja kati ya matajir wakumbwa hapa kariakoo lakini alikuwa hajioneshi kama ni mtu mwenye mali isitoshe hakuwa na n\mjivuno kama matajiri wenzake.Mzee huyoaliamzakuniwindaili apate kunisaidia.Siku moja nilipteza funguo za stoo kwabahatimbaya,rafiki yangu alininasa vibao na kunitamkia endapo nisipo zipata funguo hizo nisikanyage hapodukani.Mzee Temba alikuwa alikuwa yupo jirani ndipo alipo tapa njia ya kunisaidia nilumia sana mbaya zaidi sikuwa hata na senti za kunirudisha nyumbani kwetu na wala siku wa na mahala popote pakwenda nikiwa kwenyehekaheka za kutafuta funguo Mzee temba alinifuata na kuanza kunidadisi kundani nilimueleza kila kitu na kumtaka anisaidie walau nauli nirudi nyumbani kwa maana sikuwa na matumaini ya kuzipata funguo hizo.Mzee temba aliahidi kuwa atanisaidia.Mzee temba alinichukuwa hadi nyumbani kwake huko aliniuza`` Musa unapenda kwa tajiri ?`` nilimjibu kwa haraka ``Mapenda sana niweTajiri `` na nindoto liyokuwa nayo tangu nilipo kuwa mtoto nilimuuliza mzee temba `kwanini umeniuliza hivi..? Mzee Temba alinijibu ` usishangae Musa ninataka nkusaidie uwe tajiri tena Bilionea je utaeweza masharti...? Nilimjibu kwa haraka sana kwanini nisiweze mzee wangu ``Mzee temba liniambia kuna mganga sehemu kama nita weza masharti kesho anipeleke....Mzeetemba alizidikunitamanisha kama nitaweza masharti ya huyomganga kesho asubuhi anipeleke kwa huyomganga na kama nitaweza masharti hayo ya huyomganga nitweza kusahau matatizo yoote niliyonayo nilikubaliana na Mzee temba na akania hidi kesho yake atanipeleka kwa huyo mganga.
Kesho asubuhi tulifunga safari na kuelekea kwa huyo mganga kwani alikuwepo ndani ya Dar es salaam tuluipofika kwenye nyumba moja Mzee temba aliingia bila kugonga hodi mimi nikiwa nje nilisikia minong`ono baadaye kimnya kingi kilitanda Mwisho mzee temba alitoka nje na kufungua buti ya gari tulilokuja nalo nakutoa mfuko wa rangi nyeusi uliokuwa ukitoa harufu kali.Mzee temba alionekana kuto jiamini baada ya kumtazama machoni mimi nilimfata nyuma lakini alionekana kuwa na wasi wasi ,tulipo ingia ndani Mzee temba alimkabidhi mganga huyo huo mfuko mweusi kisha mganga akatutaka tukaechini kisha mganga huyo alinitaka nioneshe viganja vyagu vya mikono nilinyoosha mkono haraka haraka.Yule mganga alinikagua na kisha akaniambia kuwa nina nyota mbaya kwa heshima ya mzee temba maganga huo aliniahidi atansidia endapo nitaweza masharti nitakuwa tajiri mkubwa ndani ya siku tatu.Nilimomba mganga anipe masharti hayo mganga huyo alianzakusema...``Utajiri wa kwanza ni wakutoa kafara unaweza kumtoa mama yako,mkea, mtoto wako au ndugu unayempenda wa damu.
Utajiri mwingine ni wakucheza kamali na kuku tutanunua kuku kisha atafungiwandani siku nzima bila kula njiona atafunguliwa kutoka kwenye banda kisha atapewa punje mia za mahidi kama akila punje mia utaishi miaka mia uiwa tajiri na kama atakula punje hamsini utaishi miaka 50 ukiwa tajiri pindi itakapotiamia miakahiyo utafariki dunia.
Niiwaza kumtoa kafara mama yangu ila niliona haifai nikikumbuka wema alionitendea na Ndipo nilipo amua kucheza kamali na miaka yangu.Mganga alianzak kupiga manyanga huku akiimba na kupandisha majini na kuniamulu nilete ubani maka,udi marashi pamoja na kuku mwenye Afya hivyo vitu vifike pale kabla ya jua kuzama baada ya mjini kushuka mganga aliniuliza kwa upole ``wazee wameomba nini ?`` Mlimuza mganga huyo kisha kutuamuru tulete vitu hiyo Mzee temba aliondoka kwendakuhemea vitu hivyo.
Haukupita muda Mzee temba alituletea kuku huyo kisha mganga huyo alianza kuniagulia mpaka jua lilipo zama kilakitu kilikuwa tayari isipokuwatu mtihaniwa kuku mganga alisitisha zoezi hilo mpaka kesho.
Siku ya pili kuku alifunguliwakutoka kwenye banda akiwa na njaakali mganga alimwaga punje mia za mahidi kuku kuona mahindi yale aliyakimbilia na kuanza kudonoa moja baada ya lingine...........

FUATILIA KISA HIKIUPATEKUJUA KUKU ALIKULA MAINDI MANGAPI 
 
UKITAKA UTAJIRI HUU PIGA NAMBA YA MZEE MOJA KWA MOJA 0652 720 339




                                                 


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

20 comments:

  1. me pia hiyo ya kuku naihitaji sa nitaipataje

    ReplyDelete
  2. Ushuhuda juu ya jinsi nilivyopata mume wangu. Dunia yangu na maisha yangu ni nyuma !!! Baada ya mwaka mmoja wa uhusiano uliovunjika, mume wangu aliniacha bila sababu. Nilihisi kama maisha yangu yangekaribia, nimejiua kujiua, nilikuwa kihisia chini kwa muda mrefu sana. (Shukrani kwa caster ya spell inayoitwa Dr IREDIA), ambayo nilikutana kwenye mtandao. Siku moja ya uaminifu, nilipokuwa nikivinjari kupitia mtandao, nimekutana na ushuhuda mwingi kuhusu kanda hii ya spell. Watu wengine walithibitisha kwamba alileta wapenzi wao wa zamani wa Ex, wengine walithibitisha kwamba anarejesha tumbo, kansa ya kutibu, Hiv, na magonjwa mengine, wengine waliwashuhudia kuwa anaweza kutoa spell kuacha talaka na kadhalika. Pia nilipata ushuhuda mmoja, ni kuhusu mwanamke aitwaye CINDY, alishuhudia juu ya jinsi alivyomleta mpenzi wake Ex chini ya siku mbili, na mwishoni mwa ushuhuda wake alishuka anwani ya barua pepe ya IREDIA. Baada ya kusoma haya yote, niliamua kuipa jaribio. Nilimsiliana naye kupitia barua pepe drirediaherbalhome@gmail.com na alielezea shida yangu kwake, aliniambia siwe na wasiwasi, kwamba katika masaa 48 mume wangu atarudi kwangu. kwa kushangaa kwangu, mume wangu alikuja nyumbani kwangu akiniomba kumsamehe. Tulitatua masuala yetu, na sisi tunafurahi zaidi kuliko kabla ...
    Dr IREDIA ni mtu mwenye vipawa na siwezi kuacha kuchapisha kwa sababu yeye ni mtu mzuri ... Ikiwa una shida na unatafuta caster halisi na ya kweli ili kutatua matatizo yako yote kwako. Yeye ni legit. Wasiliana naye kwenye barua pepe yake, DRIREDIAHERBALHOME@GMAIL.COM

    ReplyDelete
  3. Sas je uyo kuku akila tembe za maindi tano si mganga apo ashakupiga changa la macho sababu utaishi miaka tano ama?

    ReplyDelete
  4. Nimekuwa nikitaka kuwa wa ndugu mkubwa wa ILLUMINATI kama nilikuwa na hamu kubwa ya utajiri na umaarufu na kwa jitihada zangu nimeingia katika baadhi ya mikono isiyofaa kunidai kunisaidia kupata punguzo la uanachama na nimepata maradhi ya fedha yangu. Hivi karibuni nimepata ajira ya haki na wajumbe kwenye illuminatiworldofriches6666 @ gmail. com au +2349034745112

    ReplyDelete
  5. KARIBU ILLUMINATIWORLD Tunawapa RICH, umaarufu na POWER.


    JOIN UTARATIBU Illuminati Great Hall ya fedha na nguvu JOIN WELLAP Illuminati wakala wetu au +234807949406 au kwa barua pepe (illuminatiworld202@gmail.com) Je, wewe mtu au mfanyabiashara, mwanasiasa, mwanamuziki, mwanafunzi, unataka kuwa tajiri, maarufu, nguvu katika maisha, kujiunga ibada ya Illuminati undugu leo ​​na kupata papo na kamili kiasi cha $ milioni 1 katika wiki, na bila malipo. Ambapo kuamua kuishi katika dunia hii na pia kupokea $ 350 000 kwa mwezi katika mshahara ... FAIDA GIVEN kwa wanachama wapya JOIN Illuminati. 1. tuzo ya fedha ya $ 000 USD 10000 2. mpya Sleek Dream gari yenye thamani ya $ 150 000 USD 3. nyumba ndoto kununuliwa katika nchi ya uchaguzi wako upo hapa kwa ajili ya mwezi na tano viongozi wa dunia kubwa na 5 muhimu mashuhuri duniani. Kama una nia ya, piga +234807949406 au Whatsapp wakala, unaweza pia tutumie barua pepe na hii (illuminatiworld202@gmail.com) kwa ajili ya kuanza kwa haraka online sasa.

    ReplyDelete
  6. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  7. Tatizo mnasemaga malipo Hadi ufanikiw mtu anakuja anashida na Pesa unamuomb Pesa ya vifaa Laki tatu sasa anatowa wapi naalishakwambia Hana Pesa nifanyie Kazi afanikiwe akulipe zote akashindwa kulipa mpe Uchiz tu

    ReplyDelete
  8. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Me naitaji sana huo utajiri naniko tayari kwa lolote nitafanya 0714520093 nimekucheki naona hupatikan

      Delete
  9. Karibu Tiba asili kupata tiba mbalimbali kupitia visomo na dawa mbalimbali..

    PIGA SIMU No, 0742162843...

    Kwa wale wasumbuliwao na magonjwa sugu na matatizo kama
    Kusafisha nyota, biashara, kumvuta mpenzi, KUTENGENEZA MALI KWA NDAGU au KUTENGENEZA MALI KWA MAJINI, kulinda mali, kulinda familia, Utulivu katika ndoa, kuitambua nyota yako, Kwa wale wasumbuliwao na majini(mapepo) na mengine mengi kumbuka husitume sms tafadhali piga simu kuhepuka matapeli.

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA KWA MASWALA YA KUPATA PESA ZA NDAGU AU MAJINI......

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI...

    UTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843.
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI).

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete
  10. Maisha yangu Maajabu yanashangaza ushuhuda, Jinsi nimepata kisanduku chenye nguvu sana ambacho sasa ni pesa yangu mara mbili kutoka mia hadi elfu ya pesa ndani ya masaa 24, na pia jinsi nimerudisha mpenzi wangu wa zamani, sababu kuu niliwasiliana na Dk Lomi kwa msaada mimi kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, basi ananisaidia ni nguvu kubwa ya kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, na ananipenda na ananithamini sasa, basi mimi na Dr Lomi tukawa marafiki, baada ya mazungumzo kadhaa namuuliza ikiwa kuna njia anaweza kuniganga ili nipate pesa, hapo ndipo aliponiambia juu ya sanduku hili la uchawi, akaniambia kuna aina na saizi tofauti ya sanduku, aliniambia aina zote za sanduku, ningeweza kumudu ndogo tu ya sanduku, baada ya maombi muhimu anayofanya kwenye sanduku, ananipeleka kupitia huduma ya kujifungua, aliniambia niweke pesa ndani, niliweka ndani ya sanduku 100 euro baada ya masaa 24 nikagundua ilikuwa elfu 10 euro ndani, na nimekuwa nikitumia sanduku kwa miezi 7 sasa, mimi na mchumba wangu tunaishi maisha bora, ikiwa unahitaji b ack mpenzi wako au pesa spell wasiliana na Dr Lomi kwa barua pepe: lomiultimatetemple@gmail.com au WhatsApp namba +2349034287285 unaweza pia kumwandikia kupitia Jina la Mtumiaji la Snapchat: drlomi20 atakusaidia nje, asante kwa kusoma

    Kwaheri Gerd Ulrich

    ReplyDelete
  11. Sikuamini kuwa ningeweza kuungana tena na mpenzi wangu wa zamani, nilipatwa na kiwewe nikiwa nimesimama peke yangu bila mwili kusimama na mimi na kuwa nami, lakini nilipata bahati sana siku moja nilikutana na mchawi huyu wa hodari Dk. ASUBUHI, baada ya kumueleza hali yangu alifanya kila liwezekanalo kumuona mpenzi wangu anarudi kwangu, kweli baada ya kunifanyia uchawi mpenzi wangu wa zamani alirudi kwangu chini ya masaa 48, mpenzi wangu wa zamani alirudi akiniomba kuwa hatawahi. niache tena, miezi 3 baadaye tulioana na kuoana, ikiwa pia una hali sawa. Ana nguvu nyingi katika mambo yake;
    *penda uchawi
    * kama unataka ex wako nyuma
    * Acha talaka
    *kuvunja mawazo
    * huponya viharusi na magonjwa yote
    * uchawi wa ulinzi
    *Ugumba na matatizo ya ujauzito
    Wasiliana na Dk DAWN kwa barua pepe yake: dawnacuna314@gmail.com
    Whatsapp: +2349046229159

    ReplyDelete
  12. Blogger Tiba asili said...
    MALI,UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI MPAKA MASAA 72(SIKU 3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.

    ReplyDelete

Item Reviewed: NILIVYOWEZA KUPATA UTAJIRI WA WAAJABU Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top